Wednesday, March 24, 2010

VIONGOZI WETU

Umefika wakti wa kuambiza ukweli kwani kila mtu katika nafasi yake anao uwezo wa kufanya kama siyo kuchangia katika jamii yake. kuna viongozi wanaodhani kuwa wanamuenzi Baba wa taifa Mwalimu julius K. Nyerere kwa kuwa katika chama au kubakia katika itikadi fulani, hii siyo kweli na ni wenda wazimu. Sina budi kuwaambia adhanie amesimama angalie asianguke.

Mwalimu alisema " heshima ya mtu haitokani na mali yake, cheo au elimu bali utu wake" pia wapo viongozi wanaodhani kuwa baba wa taifa ni mali yao japo ukiangalia mambo wanayoyafanya ni tofauti kabisa.

No comments:

Post a Comment