Ni vigumu kufahamu tabia ya kila mmoja licha ya kuishi na mtu kwa muda mrefu hususani marafiki ambao tunao karibu.
Imewahi kunitokea kushauriwa vibaya na rafiki yangu kuacha kufanya mambo yenye mafanikio kwa kuwonawivu. Je wewe mkasa kama huu umewahi kukutokea?
Robinson Wangaso
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment