Monday, January 25, 2010

WANAHABARI TUITUMIKIE JAMII BILA UBAGUZI - MARA

Waandishi wa habari katika mkoa wa Mara ipo haja ya kuamka na kuitumikia jamii kamayalivyo malengo na madhumuni ya wanahabari ambayo ni kuelimisha, kuhabarisha kutahadhalisha kuburudisha pale inapobidi.

Yapo matukio mengi ambayo yamekuwa hayaripotiwi japo taarifa ya matukio hayo kuwafikia wanahabari na baadhi yetu kuyapuuza kwa sasababu mbalimbali zikiwemo za kutolipwa gharama za utumaji wa habari hizo japo baadhi ya matukio hayo ni ya mauaji na hata kunyanyaswa kwa watu wa hali ya chini kimaisha. Nadhani sisi wanahabari ndiyo kimbilio la wasiyo na pa kukimbilia.

Umefika wakati wa kujirekebisha na kubadirika ili tuitumikie jamii, ni dhahiri hakuna atakaebisha juu ya weana

No comments:

Post a Comment